tangazo

Friday, May 27, 2011

DC asema siasa imeingia Burigi

Na Theonestina Juma, Biharamulo

MKUU wa Wilaya ya Biharamulo, Bw. Ernest Kahindi amesema uharibifu wa pori la Nyantakara na Burigi umefikia asilimia 40 kutokana na kuingiwa na masuala ya kisiasa.

Walemavu Shule ya Msingi Bunazi hoi

Na Theonestina Juma, Missenyi

WANAFUNZI wa wenye mahitaji maalumu wa Shule ya Msingi Bunazi Wilayani Missenyi, wameiomba serikali kutafuta namna ya kuwapatia chakula kwa kuwa fedha wanazopatiwa na wafadhili kwa ajili hiyo hazitoshi.

Chuo cha ualimu chajengwa Kyerwa

Na Theonestina Juma, Kyerwa

CHUO kipya cha ualimu kimeanzishwa katika wilaya mpya ya Kyerwa, mkoani Kagera ambapo hadi kukamilika kwake kinatarajia kugharimu sh. bilioni 2. Chuo hicho kinatarajiwa kufunguliwa Julai, mwaka huu.

Mshikamono SACCOS yakopesha wananchama bilioni 1.4/-

Na Theonestina Juma, Chato

CHAMA cha Ushirika wa Akiba na Mikopo Mshikamano (SACCOS) cha Wilaya ya Chato Mkoa wa Kagera kimetoa mkopo wa sh.bilioni 1.4 kwa wanachama wake kwa kipindi cha miaka minane iliopita.

Kasi ya utoaji mikopo yapungua

Na Livinus Feruzi, Bukoba

KASI ya utoaji wa mikopo katika Chama cha Akiba na Mikopo Bukoba SACCOS imepungua tofauti na ilivyokuwa mwanzoni kutokana na baadhi ya wanachama kushindwa kurejesha fedha wanazokopo.

Thursday, May 26, 2011

Polisi yamshikilia dereva halmashauri Shinyanga

Na Suleiman Abeid, Shinyanga

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia dereva wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bw. Abdalah Mkoma (36) Mkazi wa Kitongoji cha Ushirika mjini humo kwa tuhuma za kumgonga mwendesha pikipiki na kusababisha vifo vya watu wawili.

Siri ya vijana kukimbilia bodaboda Bukoba yatajwa

Na Livinus Feruzi, Bukoba

TATIZO la vijana kutopenda kushiriki shughuli za
kilimo na ufugaji na badala yake kukimbilia kuendesha baiskeli na pikipiki ni changamoto kubwa inayoikabili Manispaa ya Bukoba.

MUWAWATA yatetea wanajeshi wastaafu

Na Livinus Feruzi, Bukoba

MUUNGANO wa wanajeshi wastaafu Tanzania (MUWAWATA) Mkoa wa Kagera umesema nchi nyingi duniani zimeingia kwenye matatizo baada ya
wanajeshi wastaafu kukaa bila kazi na hatimaye kuchoshwa na hali ya maisha tofauti na walivyozoea awali.

Michango iliyochangwa Kagera Day na jinsi ilivyotumika

*Ni harambee iliyoongozwa na Lowassa
*Sh. milioni 196 bado zipo kwa watu

WAKAZI wengi wa Kagera wamekuwa na shauku ya kujua ni jinsi gani michango iliyotolewa wakati wa uzinduzi wa Siku ya Kagera zilivyotumika. Kamati ya Kagera Day kwa kuzindua ziku hiyo iliendesha harambee. Katika makala haya, Mwandishi Wetu, anaeleza mchanganuo wa ahadi zilipatikana jinsi zilivyotumika. Hii ni kulingana na mchanganuo uliotolewa na Kamati ya Kagera Day.

Friday, March 18, 2011

IDARA YA UTUMISHI NA UTAWALA

IDARA YA UTUMISHI NA UTAWALA

UTANGULIZI

Idara ya utumishi na utawala  ni idara inayohusika moja kwa moja na usimamizi wa rasiliamli watu na kuhakikisha idara nyingine zinapangiwa watumishi kulingana  na

IDARA YA AFYA - KAGERA - BUKOBA

Kumb. Na. BMC/M.10/6/                                   26/1/2011

Mkurugenzi wa Manispaa
S. L. P. 284
BUKOBA

IDARA YA AFYA

Idara ya Afya, katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba inashughuli na utoaji wa huduma za tiba na kinga katika vituo 16 za kutolea huduma za Afya.


AINA YA KITUO
MMILIKI



Serikali
Mashirika ya Dini
Mashirika ya Umma
Binafsi
Jumla
1
Hospitali
1
0
0
0
1
2
Vituo vya Afya
2
0
0
1
3
3
Zahanati
8
1
1
2
12


Shughuli zinazofanyika

1.    Uagizaji na usambazaji wa madawa muhimu na

Thursday, March 17, 2011

KUSHUKA KWA ELIMU KATIKA MKOA WA KAGERA

01: UTANGULIZI: Mkoa wa Kagera upo Magharibi mwa nchi yetu ya Tanzania. Unazo wilaya saba ambazo b Bukoba, Biharamulo, Chato, Karagwe, Missenyi, Muleba na Ngara. Makabila yaliyopo katika mkoa huu ni Wahaya, wanyambo, wahangaza, Wasubi na wasukuma. Mazao ya chakula ni ndizi, mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu, maharage na njugu mawe. Mazao ya biashara ni pamoja na

SEKTA YA USAFIRISHAJI

1. UTANGULIZI
Sekta ya usafirishaji ni sekta inayohusika na masuala yote yanayohusu usafiri na usafirishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba.

2. KAZI ZINAZOFANYIKA KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI.
1. Kusimamia na Kuratibu masuala  yote yanayohusu usafiri na usafirishaji.

UFANISI NA CHANGAMOTO ZA SEKTA YA MAENDELEO YA JAMII

HALI YA UTENDAJI KAZI
Watendaji wapo wanne, miongononi mwao mmoja ni mkuu wa idara na mwingine ni mratibu wa TASAF. SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA NA IDARA
UTOAJI WA MIKOPO
Jumla ya vikundi 12 vya wanawake na kimoja cha vijana vimepata mkopo kwa

TAARIFA YA MAENDELEO YA IDARA YA KILIMO MANISPAA YA BUKOBA

Halmashauri ya Manispaa ina Kata 14, kati ya hizo Kata 6 ni za mjini kati ya hizo ni Bakoba, Hamugembe, Kashai, Bilele, Miembeni na Rwamishenye zenye mitaa 31 na Kata 8 ni za ukanda wa

Mchango wa KKKT Dayosisi ya Karagwe katika maendeleo ya jamii.

Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Mh.  Dr. Benson Bagonza akiwa na wageni walioitembelea dayosisi toka Sweden mapema mwaka 2011 (Picha na Mchg.Oscar Samwel).
Dayosisi ya Karagwe ni miongoni mwa dayosisi ishirini zinazounda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania. Dayosisi ya Karagwe ilizinduliwa