Na Theonestina Juma, Biharamulo
MKUU wa Wilaya ya Biharamulo, Bw. Ernest Kahindi amesema uharibifu wa pori la Nyantakara na Burigi umefikia asilimia 40 kutokana na kuingiwa na masuala ya kisiasa.
AINA YA KITUO | MMILIKI | |||||
Serikali | Mashirika ya Dini | Mashirika ya Umma | Binafsi | Jumla | ||
1 | Hospitali | 1 | 0 | 0 | 0 | 1 |
2 | Vituo vya Afya | 2 | 0 | 0 | 1 | 3 |
3 | Zahanati | 8 | 1 | 1 | 2 | 12 |