*Ni harambee iliyoongozwa na Lowassa
*Sh. milioni 196 bado zipo kwa watu
WAKAZI wengi wa Kagera wamekuwa na shauku ya kujua ni jinsi gani michango iliyotolewa wakati wa uzinduzi wa Siku ya Kagera zilivyotumika. Kamati ya Kagera Day kwa kuzindua ziku hiyo iliendesha harambee. Katika makala haya, Mwandishi Wetu, anaeleza mchanganuo wa ahadi zilipatikana jinsi zilivyotumika. Hii ni kulingana na mchanganuo uliotolewa na Kamati ya Kagera Day.