IDARA YA UTUMISHI NA UTAWALA
UTANGULIZI
Idara ya utumishi na utawala ni idara inayohusika moja kwa moja na usimamizi wa rasiliamli watu na kuhakikisha idara nyingine zinapangiwa watumishi kulingana na
tangazo
Friday, March 18, 2011
IDARA YA AFYA - KAGERA - BUKOBA
Kumb. Na. BMC/M.10/6/ 26/1/2011
Mkurugenzi wa Manispaa
S. L. P. 284
BUKOBA
IDARA YA AFYA
Idara ya Afya, katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba inashughuli na utoaji wa huduma za tiba na kinga katika vituo 16 za kutolea huduma za Afya.
AINA YA KITUO | MMILIKI | |||||
Serikali | Mashirika ya Dini | Mashirika ya Umma | Binafsi | Jumla | ||
1 | Hospitali | 1 | 0 | 0 | 0 | 1 |
2 | Vituo vya Afya | 2 | 0 | 0 | 1 | 3 |
3 | Zahanati | 8 | 1 | 1 | 2 | 12 |
Shughuli zinazofanyika
1. Uagizaji na usambazaji wa madawa muhimu na
Thursday, March 17, 2011
KUSHUKA KWA ELIMU KATIKA MKOA WA KAGERA
01: UTANGULIZI: Mkoa wa Kagera upo Magharibi mwa nchi yetu ya Tanzania. Unazo wilaya saba ambazo b Bukoba, Biharamulo, Chato, Karagwe, Missenyi, Muleba na Ngara. Makabila yaliyopo katika mkoa huu ni Wahaya, wanyambo, wahangaza, Wasubi na wasukuma. Mazao ya chakula ni ndizi, mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu, maharage na njugu mawe. Mazao ya biashara ni pamoja na
SEKTA YA USAFIRISHAJI
1. UTANGULIZI
Sekta ya usafirishaji ni sekta inayohusika na masuala yote yanayohusu usafiri na usafirishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba.
2. KAZI ZINAZOFANYIKA KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI.
1. Kusimamia na Kuratibu masuala yote yanayohusu usafiri na usafirishaji.
Sekta ya usafirishaji ni sekta inayohusika na masuala yote yanayohusu usafiri na usafirishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba.
2. KAZI ZINAZOFANYIKA KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI.
1. Kusimamia na Kuratibu masuala yote yanayohusu usafiri na usafirishaji.
UFANISI NA CHANGAMOTO ZA SEKTA YA MAENDELEO YA JAMII
HALI YA UTENDAJI KAZI
Watendaji wapo wanne, miongononi mwao mmoja ni mkuu wa idara na mwingine ni mratibu wa TASAF. SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA NA IDARA
UTOAJI WA MIKOPO
Jumla ya vikundi 12 vya wanawake na kimoja cha vijana vimepata mkopo kwa
Watendaji wapo wanne, miongononi mwao mmoja ni mkuu wa idara na mwingine ni mratibu wa TASAF. SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA NA IDARA
UTOAJI WA MIKOPO
Jumla ya vikundi 12 vya wanawake na kimoja cha vijana vimepata mkopo kwa
TAARIFA YA MAENDELEO YA IDARA YA KILIMO MANISPAA YA BUKOBA
Halmashauri ya Manispaa ina Kata 14, kati ya hizo Kata 6 ni za mjini kati ya hizo ni Bakoba, Hamugembe, Kashai, Bilele, Miembeni na Rwamishenye zenye mitaa 31 na Kata 8 ni za ukanda wa
Mchango wa KKKT Dayosisi ya Karagwe katika maendeleo ya jamii.
Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Mh. Dr. Benson Bagonza akiwa na wageni walioitembelea dayosisi toka Sweden mapema mwaka 2011 (Picha na Mchg.Oscar Samwel).
Dayosisi ya Karagwe ni miongoni mwa dayosisi ishirini zinazounda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania. Dayosisi ya Karagwe ilizinduliwa
Subscribe to:
Posts (Atom)